LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 2, 2019

DC MISUNGWI KURATIBU UFUFUAJI KIWANDA CHA PAMBA, MANAWA


Naibu Waziri wa Kilimo, Husseis Bashe (wa pili kulia) akiwa pamoja na viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Wilaya Misungwi mkoani Mwanza, Juma Sweda (kulia) kukagua sehemu ya mitambo ya kiwanda cha kuchakata pamba Manawa kilichopo Kata ya Misasi wilayani Misungwi.

Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Septemba 27, 2019 Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alitembelea kiwanda hiki 
 Mwonekano wa baadhi ya mitambo katika kiwanda cha kuchakata pamba Manawa kilichopo wilayani Misungwi ambacho tangu mwaka 2014 kilisitisha shughuli zake.
Tazama BMG Online TV hapa chini

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages