Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping kwa kuuendeleza ushirikiano na uhusiano mzuri wa Tanzania na China ikiwemo misaada na uwekezaji ambao China inaufanya hapa nchini.
Sep 12, 2019
RAIS MAGUFULI APOKEA MAGARI 40 KATIKA MAKABIDHIANO YA MAGARI YA JWTZ.
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇