Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando Prof. Abel Makubi akiongea na maofisa habari wa wizara ya afya na taasisi zake.
Jengo lenye huduma za kibingwa ambalo linahudumia hadi wanachama 350 wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wanahudumiwa kwa siku. Limegharimu Shilingi Milioni 800 tulizowezeshwa na NHIF na tangu 2017 wameshamaliza kurejesha malipo.
Maabara ya Vinasaba iliyopo kwenye hospitali ya rufaa ya kanda ya Bugando.
Picha ya pamoja ya Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando Prof. Abel Makubi akiwa na Maofisa Habari na Mahusiano kutoka Wizara ya Afya na Taasisi zake ambao wapo mkoani Mwanza kujionea hali ya maboresho ya hospitali hiyo.




No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇