![]() |
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (Kushoto) akisalimiana na aliyekuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu) ), Ndg. Maimuna Tarishi alipomtembelea Ofisini kwake kwa lengo la kumuaga na Kumshukuru kwa ushirikiano aliompatia kwa kipindi chote alichokuwa anafanya kazi na Bunge tukio lililofanyika leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma |
Sep 12, 2019
KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA KATIBU MKUU MSTAAFU OFISI YA WAZIRI MKUU
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇