LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 20, 2019

DKT. CHEGENI AONGOZA MAZUNGUMZO NA CHAMA CHA WABUNGE CHA KUPAMBANA NA MALARIA CHA UINGEREZA NA UJERUMANI


Katibu wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzani (TAPAMA) ambae alimuwakilisha Spika Ndugai, Mhe. Dkt. Raphael Chegeni (Kushoto)akiongozana na Kiongozi wa Msafara wa ma  cha  Wabunge  kutoka  Uingereza  n a  Ujerumani,  Ndg. Jeremy  Lefroy baada ya kutembelea Ukumbi wa Bunge Bungeni Jijini Dodoma.




Katibu wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA), Mhe. Dkt. Raphael Chegeni akizungumza na Wabunge kutoka Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA) na Chama cha Wabunge kutoka Uingereza na Ujerumani katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Dkt. Chegeni alimuwakilisha Spika Ndugai katika mazungumzo hayo
Katibu wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA), Mhe. Dkt. Raphael Chegeni (kulia) akipokea zawadi ya kikombe kwa niaba ya Spika Ndugai kutoka kwa kiongozi wa msafara wa Chama cha Wabunge kutoka Uingereza na Ujerumani, Ndg. Jeremy Lefroy katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.


Katibu wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA), Mhe. Dkt. Raphael Chegeni (mbele wanne kulia) katika picha ya pamoja na Wabunge kutoka Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA) na Chama cha Wabunge kutoka Uingereza na Ujerumani katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages