Wananchi na ndugu wa marehemu wakisikiliza hotuba fupi kutoka kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina (hayupo pichani) katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Tarehe 24/07/2019.
Waziri Mpina akitoa salamu na pole kwa familia ya marehemu Ibrahim Jalali nyumbani kwao Rorya Tarehe 25/07/2019.
Waziri Mpina akiwapatia familia ya marehemu Ibrahim Jalali picha yake akiwa anatekeleza majukumu ya kulinda rasilimali za Uvuvi na taifa kwa ujumla (kulia) ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah.
Waziri Mpina akiwa ameshika hati ya ushujaa ya Ibrahim Jalali kwa ajili ya kuwapatia Familia yake juu ya ujasiri na juhidi kubwa aliyoiyonyesha ya na kupambana na rasilimali za uvuvi Nchini.
Wakazi wa Rorya, Ndugu, Jamaa na Marafiki kutoka maeneo mbali mbali wakiwa wamekusanyika leo Nyumbani kwa Ibrahim Jalali kwa ajili ya mazishi yake.







No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇