LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 17, 2019

WAZIRI MKUU AITAKA TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA TCU IVISAIDIE VYUO VIKUU BINAFSI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wakati akikagua mabanda kwenye ufunguzi wa Maonesho ya 14 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam leo, Julai 17.2019. (PICHA NA OFISI Y WAZIRI MKUU).

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiangalia mashine ya kutotolea vifaranga, iliyobuniwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM), kabla ya kufungua Maonesho ya 14 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam leo, Julai 17. 2019.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiangalia mita ya maji ya malipo ya kabla iliyobuniwa na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Saint Joseph, Khadija Mustapha (kulia), kabla ya kufungua Maonesho ya 14 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam, Julai 17.2019.

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Meneja Usajili na Utambuzi (NIDA), Julien Bernard (kulia), kwenye ufunguzi wa Maonesho ya 14 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam, Julai 17.2019.

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiangalia mashine ya kutayarishia vitambulisho vya Taifa, wakati akikagua banda la (NIDA), kwenye ufunguzi wa Maonesho ya 14 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam, Julai 17.2019. Kulia ni Mtaalamu wa mashine hiyo, Marwa Mbolea.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwahutubia wananchi, waliyohudhuria kwenye ufunguzi wa Maonesho ya 14 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam, Julai 17.2019.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwahutubia wananchi, waliyohudhuria kwenye ufunguzi wa Maonesho ya 14 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam, Julai 17.2019(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha, baada ya ufunguzi wa Maonesho ya 14 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es salaam, Julai 17.2019.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Prof. Jacob Philip Mtabaji, wakati alipowasili katika viwanja vya Mnazi Mmoja, kufungua Maonesho ya 14 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, jijini Dar es salaam, Julai 17.2019. Kulia ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Charles Kihampa.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages