LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 17, 2019

KIGOGO ATIMKIA CCM

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Arusha Mjini Noel Olevaroya ambaye amehamia chama cha mapinduzi CCM amesema kuwa sababu kubwa ni kutokana na unafiki umekuwa mwingi ndani ya Chadema kuliko Uhalisia Huku akimtaja Mbunge wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages