LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 28, 2019

ATCL YAANZA SAFARI KWENDA AFRIKA KUSINI LEO JUNI 28, 2019

Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), leo limeanza rasmi safari yake ya kwanza kuelekea Johannesburg, Afrika Kusini kwa kutumia ndege aina ya Airbus. 

Mkurugenzi wa Shirika hilo Mhandisi Ladslaus Matindi amesema kwa wiki kutakuwa na safari nne. 



Shirika la Ndege la Tanzania ATCL laanza safari zake za kwenda Nchini Afrika Kusini leo tarehe 28/06/2019


Ndege hiyo  aina ya Airbus 220-300 imeondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam Tanzania (JNIA)  saa 4:30 asubuhi ikitarajia kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa OR Tambo, Afrika Kusini saa 6:45 mchana.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages