LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 20, 2019

RAIS DK. MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA OFISA MWENDESHAJI MKUU WA KAMPUNI YA BARRICK GOLD CORPORATION, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

Rais Dk. John Magufuli akisalimiana na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation ( kwa Afrika na Mashariki ya Kati) Willem Jacobs, alipokutana naye na kufanya  mazungumzo, Ikulu jijini Dar es salaam, leo Februari 20, 2019
Rais Dk. John Magufuli akiwa na Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Florens Luoga wakati wa mazungumzo yake na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation ( kwa Afrika na Mashariki ya Kati) Willem Jacobs na ujumbe wake, Ikulu jijini Dar es salaam, leo. 
Rais Dk. John Magufuli na Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Florens Luoga wakiwa katika picha ya pamoja  na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation ( kwa Afrika na Mashariki ya Kati) Willem Jacobs na ujumbe wake baada kufanya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaa leo Februari 20, 2019.
Rais Dk. John Magufuli akiagana na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation ( kwa Afrika na Mashariki ya Kati) Willem Jacobs baada ya  kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaa leo Februari 20, 2019 (Picha na Ikulu)

1 comment:

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages