LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 21, 2018

UPOTEVU WA MAJI WAMKERA PROFESA MBARAWA

  Waziri wa Maji Mhe. Profesa Makame Mbarawa (Mb) akiangalia maendeleo ya ujenzi wa mradi wa mabwawa ya kutibu maji taka wa Bweri, Musoma.

  Waziri wa Maji Mhe. Profesa Makame Mbarawa (Mb) akisikiliza maelezo kuhusu mfumo wa kutibu maji katika mradi wa Musoma Bukanga.

  Waziri wa Maji Mhe. Profesa Makame Mbarawa (Mb), mwenye kofia, angalia hali ya chanzo cha maj Mugango Kiabakari.

  Waziri wa Maji Mhe. Profesa Makame Mbarawa (Mb) akiwa pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe.  Adam Malima (wa pili kulia) kabla ya kuanza kukagua miradi ya maji wilayani Rorya.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages