LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 19, 2018

SAMWEL APATA KOMONIO YA KWANZA

 Pichani Samwel katika pozi baada ya kupokea Komonio ya kwanza katika Kanisa la ST. Imakulata Upanga Dar es Salaam 
 Samweli katika pozi
 Babu mdogo wa Samweli, John Tick akifungua kwa Sala hafla ya sherehe iliyofanyika katika viwanja vya Salenda Club Upanga Dar es Salaam
 Samweli Kombo (wa tatu kulia)  katika picha ya pamoja na marafiki zake na mzazi wa rafiki yake  akiwemo mzazi wa Samwel, Dkt. Ewaldo Kombo (kushoto)
 Samweli katika picha na shangazi zake na bibi mzaa baba, Romana Tilia (aliye kaa kulia) 
 Samwel Komba (wa pili kushoto aliyesimama) katika picha ya pamoja na familia nyumbani kwa wazazi wake, eneo lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kabla ya kwenda katika Ukumbini 
 Shandazi yake Samweli akisalimiana na mama yake, babu na bibi wa Samwel baada ya kufika ukumbini
 Baba mkubwa wa Samwel Dkt. Erick Komba ambaye ni Dr, katika Chuo Kikuu (SUA) cha Morogoro akiwa na familia wakati wa hafla fupi ya kumpongeza kijana wao kwa hatua aliyofikia 
 Mama mzazi wa Samwel, Melania Komba ambaye ni mfanyakazi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili akisalimiana na wifi zake
 Mama mzazi wa Samwel , Melania Komba (katikati) akiwa na wifi zake
 MC. ambaye ni Baba mkubwa wa Samwel Dkt. Gabriel Komba Chuo Kikuu Mzumbe Morogoro akindesha hafla hiyo
 Samwel akiingia ukumbini akiwa na wenzake
 Baba mkubwa wa Samwel Dkt. Erick Komba (aliyevaa shati jeupe nyuma ) ambaye ni Dr,  Chuo Kikuu (SUA) cha Morogoro akiwa na familia yake katika picha ya pamoja na wazazi wa Samwel  wakati wa hafla fupi ya kumpongeza kijana wao kwa hatua aliyofikia 




 Samweli Komba (wa pili kushoto) akikata keki akiwa na marafiki zake


  Dkt. Ewaldo Kombo akimzawadia mwanaye kitabu cha Biblia, kulia ni mama mzazi wa Samwel, Melania Komba
 Samwel akipokea zawadi yenye kitita cha fedha ya kuanzia kufungulia Akaunt ya Benk  toka kwa Baba wa ubatizo Godfrey Komba (kulia) na kushoto ni mama Komba, mama wa ubatizo




Samwel Komba akitoka ukumbini akiwa na rafiki zake, (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages