LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 2, 2018

GAVANA WA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT) ATOA TAARIFA YA BENKI KUCHUKUA USIMAMIZI WA BANK M TANZANIA PIC(BANK M)

  Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Prof. Florens Luoga (wa pili toka kushoto waliokaa mbele) wakati akitoa taarifa ya Benki Kuu kuchukua usimamizi wa Bank M Tanzania Plc (Bank M) kutokana na upungufu mkubwa wa ukwasi  kwa benki hiyo.
  Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Prof. Florens Luoga (wa tatu toka kushoto waliokaa mbele) wakati akitoa taarifa ya Benki Kuu kuchukua usimamizi wa Bank M Tanzania Plc (Bank M) kutokana na upungufu mkubwa wa ukwasi  kwa benki hiyo.

 Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Prof. Florens Luoga (katikati) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa ya Benki Kuu kuchukua usimamizi wa Bank M Tanzania Plc (Bank M) kutokana na upungufu mkubwa wa ukwasi, kulia ni Naibu Gavana wa Uthabiti wa sekta ya Kifedha, Dkt. Bernard Kibesse na kushoto ni Naibu Gavana wa Sera za Uchumi na Fedha, Dkt. Yamungu Kayandabila.
 Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Prof. Florens Luoga (katikati) akifafanua  jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa ya Benki Kuu kuchukua usimamizi wa Bank M Tanzania Plc (Bank M) kutokana na upungufu mkubwa wa ukwasi kwa benki hiyo, kulia ni Naibu Gavana wa Uthabiti wa sekta ya Kifedha, Dkt. Bernard Kibesse na kushoto ni Naibu Gavana wa Sera za Uchumi na Fedha, Dkt. Yamungu Kayandabila.

Naibu Gavana wa Uthabiti wa sekta ya Kifedha, Dkt. Bernard Kibesse (kulia) akiteta jambo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Prof. Florens Luoga wakati  Gavana akitoa taarifa ya Benki Kuu kuchukua usimamizi wa Bank M Tanzania Plc (Bank M) kutokana na upungufu mkubwa wa ukwasi kwa benki hiyo, kushoto ni Naibu Gavana wa Sera za Uchumi na Fedha, Dkt. Yamungu Kayandabila.
Picha na MAELEZO
02/08/2018

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages