![]() |
| Rais Dkt. John Magufuli akizungumza jambo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la (WFP) nchini Michael Dunford |
![]() |
| Rais Dk. John Magufuli akiagananaMkurugenziwakandawa (WFP) Lola Castro baada ya mazungumzo hayo |
![]() | ||
| Rais Dkt. John Magufuli akiwa katika picha ya pamo jana Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mpangowa Chakula Duniani World Food Programme (WFP) David Beasley (wanne kushoto) Ikulu jijini Dar es Salaam. Wengine ni Waziri wa Mambo ya Njena Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt. Agustine Mahiga,Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Omary Mgumba, Balozi Zuhura Bundala na Mkurugenzi wa kanda wa (WFP) Bi. Lola Castro pamoja na Mwakilishi Mkazi wa WFP nchini Michael Dunford. PICHA NA IKULU |






No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇