LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 19, 2018

MAMA SALMA KIKWETE AFIWA NA BABA YAKE MZAZI

TANZIA
Kwa niaba ya Familia ya Mama Salma Rashid-Kikwete na Dr. Jakaya Kikwete, naomba kutoa taarifa kuwa Mama Salma Rashid Kikwete (pichani) amefiwa na Baba yake Mzazi Mzee Rashid Mkwachu. Shughuli za Mazishi zitakuwa Msasani,Nyumbani kwa Mama na Dr.Jakaya Kikwete.Mazishi yatafanyika katika Makaburi ya Kisutu Saa Kumi Jioni, Baada ya Sala ya Alasiri.

Kwa niaba ya Familia 
Ridhiwani Kikwete.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages