LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 24, 2018

ZIARA YA MZEE MANGULA NCHINI CUBA, ATEMBELEA CHUO CHA CHAMA CHA CPC, AZUNGUMZA NA UMOJA WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI NCHINI HUMO

 Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula akizungumza na Mkuu wa Chuo cha Chama cha Kikomunist cha Cuba, Rosario Penton Diaz, jijini Havana nchini humo. 
  Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula akizungumza na Mkuu wa Chuo cha Chama cha Kikomunist cha Cuba, Rosario Penton Diaz,  jijini Havana nchini humo. 
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula akiwa katika mazungumzo na viongozi wa Muungano wa vyama vya wafanyakazi nchini Cuba
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula, Mkutano na Naibu Waziri Mambo ya nje Abelardo Moreno mjini Havana

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages