LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 21, 2018

MWALIMU MBARONI KWA MWANAFUNZI WAKE KUMGEUZA HAWARA


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita,Mponjoli Mwabulambo akifafanua juu ya hatua ambazo wamezichukua kwa mwalimu Noel Seleman ambaye anashikiliwa na jeshi hilo kwa tuhuma za kutembea na Mwanafunzi wake wa Kidato cha Pili.

Binti ambaye amekutwa akiwa  nyumbani kwa Mwalimu wake ambaye jina lake tunalihifadhi.
Binti ambaye amekutwa akiwa  nyumbani kwa Mwalimu wake ambaye jina lake tunalihifadhi.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages