LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 12, 2013

KUMBUKUMBU MIAKA 14 YA KIFO CHA MWALIMU NYERERE

 kATIBU wa NEC, Uchumi na Fedha, CCM, Ndugu Zakiah Meghji, akisaini kitabu kilichowekwa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kumbukumbu ya miaka 14 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyefariki Oktoba 14, 1999
Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Mohamed Seif Khatib, akisaini kitabu hicho.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages