Wana familia na waombolezaji wakiwa katika hali ya huzuni.
| Watumishi wa CCM Makao Makuu wakibadilishana mawazo na Viongozi wa Dini wakati wa mazishi ya Neema Mangula.
Mahala ulipopumzishwa mwili wa Neema Mangula.
|
| Watumishi wa CCM Makao Makuu wakibadilishana mawazo na Viongozi wa Dini wakati wa mazishi ya Neema Mangula.
Mahala ulipopumzishwa mwili wa Neema Mangula.
|
Pumzika kwa amani Neema,japo tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi, tunahakika ulipo sote tunakuja, umetutangulia. Tutakukumbuka daima!
ReplyDeleteAmen.
UVCCM MKOA WA IRINGA