![]() |
| Wadau wa Habari wakiwa kazini ndani ya behewa kuelekea Kigoma kwenye sherehe za miaka 36 ya CCM |
![]() |
| Treni ya iliyobeba wajumbe wa Sekretarieti na wananchi wengine ikielekea Kigoma. |
![]() |
| Dk. Asha-Rose Migiro akicheza ngoma maarufu ya wenyeji wa Saranda pamoja na Kepteni John Chiligati leo wakati ujumbe wa Sekretarieti unaoelekea Kigoma kwenye sherehe za miaka 36 ya CCM. |
![]() |
| Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahaman Kinana, na Mbunge wa Manyoni Mashariki, Kepteni Mstaafu John Chiligati wakila mishikaki baada ya kuwasalimu wana CCM katika stesheni ya Saranda. |
![]() |
| Shughuli za kila siku eneo la Stesheni ya Saranda. |






No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇