LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 11, 2012

SIASA SAFI NI MATUNDA YA UKOMAVU WA SIASA BORA

John Magale Shibuda akimsikiliza kwa makini Katibu wa NEC ,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye ndani ya ukumbi wa Kizota,kwenye mkutano mkuu wa nane wa Chama Cha Mapinduzi


Kapteni John Chiligati akibadilishana mawazo na John Magale Shibuda kwenye ukumbi wa Kizota, ambapo mkutano mkuu wa nane wa CCM unafanyika.

1 comment:

  1. kunatofauti kati ya mwanasiasa na mwanaharakati mhe. Shibuda na mwanasiasa.

    ReplyDelete

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages