Jun 24, 2020

LOWASSA, MKEWE MIONGONI MWA WANANCHI MONDULI WALIOMDHAMINI RAIS MAGUFULI KUWANIA URAIS 2020

Waziri Mkuu wa zamani, Mh. Edward Lowassa pamoja na mkewe Mama Regina leo huko Monduli wamekuwa miongoni kwa wana CCM waliomdhamini Rais Magufuli kutetea kiti chake cha urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu baadaye Oktoba mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages