Chuo Kikuu cha Johns Hopkins nchini Marekani kimetangaza kuwa karibu watu 4,591 wamefariki dunia katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita kutokana na virusi vya Corona na hivyo kufanya idadi ya waliokufa kwa ugonjwa huo nchini Marekani kufika 34,641.
Apr 17, 2020
CORONA MAREKANI NDANI YA MASAA 24 WATU 4591 WAFARIKI DUNIA
Tags
Corona#
featured#
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇