LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 11, 2015

WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA USPIKA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

 Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akisaini kitabu cha wageni kabla ya kuchukua fomu za kuwania uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mbele ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni,  Ndugu Mohamed Seif Khatib
 Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akizungumza na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni,  Ndugu Mohamed Seif Khatib mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
 Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Karagwe Gosbert Blandes akikabidhiwa fomu za kuwania nafasi ya Uspika wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni,  Ndugu Mohamed Seif Khatib
 George Nangale akipitia fomu ya kuwania nafasi ya uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kukabidhiwa na  Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni,  Ndugu Mohamed Seif Khatib katika ofisi ndogo za CCM Lumumba.
 Banda Sonoko akikabidhiwa fomu za kuwania nafasi ya Uspika wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni,  Ndugu Mohamed Seif Khatib
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni,  Ndugu Mohamed Seif Khatib akimkabidhi fomu Ndugu Simon G. Rubugu
 Mhe. Samuel Sitta akiwa kwenye picha ya pamoja na Dk.Emmanuel Nchimbi mara baada ya kukutana wakati wa kuchukua fomu za kuwania uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba.
 Dk.Emmanuel Nchimbi akikabidhiwa fomu za kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni,  Ndugu Mohamed Seif Khatib


Hawa ndio waliojitokeza mpaka sasa kuchukua fomu Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba ;Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, aliyekuwa mbunge wa Karagwe,Gosbert Blandes,Leonce Mulenda, George Nangale na Profesa Costa Mahalu, Muzamil Kalokola, Banda Sonoko,Simon Rubugu,Dk. Emmanuel Nchimbi


13 comments:

  1. I read this article fully regarding the difference of latest and previous technologies, it's amazing article.

    ReplyDelete
  2. I really like your blog.. very nice colors & theme.
    Did you design this website yourself or did you hire someone to do it for you?
    Plz answer back as I'm looking to construct my own blog and would like to find out where u got
    this from. appreciate it

    ReplyDelete
  3. Piece of writing writing is also a excitement, if you
    know then you can write or else it is complex to write.

    ReplyDelete
  4. When I originally commented I clicked the "Notify me when new comments are added" checkbox and now
    each time a comment is added I gett three emails with the same comment.

    Is there any way you can remove people from that service?

    Thanks!

    ReplyDelete
  5. Hi there mates, good article and good arguments commented at this
    place, I am genuinely enjoying by these.

    ReplyDelete
  6. Do you have a spam problem on this blog; I also am a blogger,
    and I was wanting to know your situation; we have developed some
    nice methods and we are looking to swap
    solutions with other folks, please shoot me an email if interested.

    ReplyDelete
  7. Do you have any video of that? I'd love to find out
    some additional information.

    ReplyDelete
  8. Hello there, You have done a fantastic job. I'll definitely digg it and personally recommend to my friends.
    I'm sure they'll be benefited from this web site.

    ReplyDelete
  9. Pretty great post. I simply stumbled upon your
    blog and wanted to say that I have really loved browsing your weblog posts.
    After all I will be subscribing to your feed and I
    am hoping you write once more very soon!

    ReplyDelete
  10. This is my first time pay a quick visit at here and i am in fact happy to
    read all at alone place.

    ReplyDelete
  11. I truly love your site.. Excellent colors & theme. Did you
    build this amazing site yourself? Please reply back as I'm
    attempting to create my own site and would like to find out where you got this from or exactly what the
    theme is named. Cheers!

    ReplyDelete
  12. Hola muy lindo post, parece que don google me trajo exactamente a la
    informaciĂłn que estaba buscando, me encanta Tailandia y planeo regresar en breve,
    me suscribo a leer las nuevasnotas, gracias Buen trabajo

    ReplyDelete
  13. Just wanna input on few general things, The website design and style is perfect, the subject
    material is really wonderful :D.

    ReplyDelete

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages