Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ndg. Ramadhani Kailima (Kushoto), na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Ndg. Thabit Idarus Faina wakiongoza kikao cha pamoja cha wajumbe wa menejimenti baina ya Tume hizo mbili leo Julai 17, 2025 kilichokutana katika Ofisi za ZEC Mjini Unguja Zanzibar. Kikao hicho ni maandalizi kuelekea kikao cha pamoja cha INEC na ZEC kitakachokutana hivi karibuni kisiwani humo.Mkurugenzi wa Uchaguzi wa
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ndg. Ramadhani Kailima (Kushoto),
na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Ndg. Thabit Idarus
Faina wakiongoza kikao cha pamoja cha wajumbe wa menejimenti baina ya
Tume hizo mbili leo Julai 17, 2025 kilichokutana katika Ofisi za ZEC
Mjini Unguja Zanzibar. Kikao hicho ni maandalizi kuelekea kikao cha
pamoja cha INEC na ZEC kitakachokutana hivi karibuni kisiwani humo. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ndg. Ramadhani Kailima (Kushoto),
na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Ndg. Thabit Idarus
Faina wakiongoza kikao cha pamoja cha wajumbe wa menejimenti baina ya
Tume hizo mbili leo Julai 17, 2025 kilichokutana katika Ofisi za ZEC
Mjini Unguja Zanzibar. Kikao hicho ni maandalizi kuelekea kikao cha
pamoja cha INEC na ZEC kitakachokutana hivi karibuni kisiwani humo.(Picha na INEC).
Your Ad Spot
Jul 17, 2025
MENEJIMENTI ZA INEC NA ZEC ZAFANYA KIKAO MJINI ZANZIBAR, LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot



No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇