Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma Julai 16, 2025, kuhusu mafanikio ya mkoa huo katika miaka minne ya Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan
Waandishi wa Habari wakiwa katika mkoa huo.
Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO, Kelvin Kanje akiruhusu wanahabari kuuliza maswali.
IMEANDALIWA NA
RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇