Mbunge wa Mbeya Vijijini, Patrick Mwalunenge akijadiliana jambo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba bungeni Dodoma Juni 18, 2026.Mwalunenge na Waziri Mkuu, Dkt. Nchemba wakifurahia jambo wakati wa mzungumzo yao. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA- 0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇