LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 18, 2026

DKT. RWEIKIZA AITAKA SERIKALI KUWA NA MPANGO MAALUMU WA AJIRA WA VIJANA

Mbunge wa Bukoba Vijijini, Dkt. Jasson Rweikiza ameihoji Serikali bungeni kuwa inakuja na mpango gani wa kuhakikisha vijana wa Nchi hii wanapata ajira za kutosha?

Pamoja na mambo mengine amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Aprili 17, 2026.



 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages