Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania Ltd (TTCL) wakimsikiliza Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani wakati akiwaeleza kuhusu magonjwa ya moyo kwa watoto walipotembelea JKCI hivi karibuni kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwaajili ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani. (NA KHAMISI MUSSA).
Afisa
Uhusiano Mwandamizi wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania Ltd (TTCL)
Adeline Berchimance akikabidhi moja ya msaada kutoka kwa Wafanyakazi
Wanawake wa kampuni hiyo kwa Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi wa Taasisi
ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Naizihijwa Majani wakati
walipotembelea taasisi hiyo hivi karibuni kutoa msaada wa vitu
mbalimbali kwaajili ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo ikiwa ni
maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.
Wauguzi
wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya
pamoja na Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania Ltd
(TTCL) walipotembelea JKCI hivi karibuni kutoa msaada wa vitu
mbalimbali kwaajili ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo ikiwa ni
maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.
Wauguzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania Ltd (TTCL) walipotembelea JKCI hivi karibuni kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwaajili ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.
















No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇