LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 25, 2026

SPIKA AONGOZA KIKAO CHA DHARULA CHA KAMATI YA UONGOZI KUFUATIA KIFO CHA LUKUVI

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, leo Machi 25, 2026 katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi iliyokutana kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu ) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, Marehemu Mhe. William Lukuvi.






No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages