LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 27, 2026

MWILI WA MAREHEMU LUKUVI WAWASILI DAR

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Marehemu Mhe. William Lukuvi (Mb), umefikishwa Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya shughuli ya kuaga inayotarajiwa kufanyika kesho tarehe 28 Machi, 2026 katika Viwanja vya Karimjee.

Mwili huo umesafirishwa leo tarehe 27 Machi, 2026 baada ya shughuli ya kuaga iliyofanyika katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Mhe. Lukuvi amefariki dunia  tarehe 25 Machi, 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa alipokuwa akipatiwa matibabu.







 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages