LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 29, 2026

CHATANDA ASAINI KITABU CHA KUMBUKUMBU YA MAOMBOLEZO YA MSIBA WA MAREHEMU LUKUVI IRINGA

 Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) amesaini kitabu cha Waombolezaji nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Jimbo la Ismani Marehemu Mhe. William Vangimembe Lukuvi,  Mwili wa Mhe. Lukuvi utawasili leo Mkoani Iringa ukitokea Dar es Salaam baada ya Wananchi wa Dodoma na Dar es Salaam kupata fursa ya kuaga.


Mhe. Lukuvi alifariki Dunia tarehe 25 Machi, 2026 alipokuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya Benjamin Mkapa.








 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages