Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Mary Chatanda akielezea ushindi mkubwa alioupata Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wa zaidi ya asilimia 97 na CCM kwa ujumla katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
Chatanda ambaye pamoja na mambo mengine alipokuwa akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza Kuu la UWT Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma Februari 14, 2026, amesema kuwa ushindi huo mkubwa kwa asilimia kubwa umechangiwa na wanawake kutokana na mkakati mkubwa ulioratibiwa na UWT. .
Mwenyekiti wa UWT, Mary Chatanda akihutubia katika mkutano huo.



No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇