LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 2, 2026

TUACHE MIJADALA YA KIDINI ISIYOFAA, ITALIANGAMIZA TAIFA - ASKOFU CHANDE





Askofu Mkuu wa Makanisa ya Karmeli Assembilies of God (KAG) Tanzania, Dkt. Evance Chande amewasihi viongozi wa dini na watanzania kwa ujumla kuacha mijadala ya kidini isiyofaa inayoendelea kwenye mitandao ili Taifa lisije likafikishwa pabaya na hatimaye kuangamizwa.

Askofu Chande ametoa wito huo wa Tahadhari katika ibada maalumu ya kuukaribisha Mwaka Mpya 2026 katika Kanisa la KAG Ipagala jijini Dodoma Januari Mosi, 2026.

Katika Ibada hiyo aliwaombea pia vijana, Wakulima, Wafanyabiashara, Wafanyakazi,Wanafunzi, Watoto na Watanzania wote kwa ujumla.




 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages