Maelfu ya wananchi wa Ikungi Mashariki katika Eneo la Puma wakiwa wamekusanyika kwa wingi kwa ajili ya kumpokea, kusikiliza,kueleza kero na changamoto zao kwa Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kenani Kihongosi kabla ya kuzungumza nao katika mkutano mkubwa wa hadharani ikiwa leo ni hitimisho la ziara yake ya siku tano Mkoani Singida. @kenanikihongosi @ccmtanzania #KazinaUtuTunasonga #ShinaLakoLinakuita
Your Ad Spot
Jan 22, 2026
MAELFU WAFURIKA MKUTANO WA KIHONGOSI IKUNGI
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About CCM Blog INVITEE
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot





No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇