Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametaja ahadi lukuki zilizotekelezwa ndani ya siku 100 zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa kampeni za urais katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29 2025.
Kihongosi ametaja ahadi hizo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari jijini Dodoma Januarai 17, 2026, kuhusu ziara ya kikazi inayotarajiwa kuanza kesho kutwa mkoani Singida.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇