LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 3, 2025

INSTAGRAM WAFUNGA AKAUNTI ZA MANGE KIMAMBI

 Mtandao wa Instagram (Meta) umefunga rasmi kurasa za mwanaharakati wa mtandaoni Mange Kimambi leo Desemba 3, 2025.


Akaunti zilizofungiwa ni ukurasa wake binafsi wa Instagram pamoja na ukurasa wa Wananchi Forum, ambazo kwa muda mrefu zilihusishwa na kuratibu na kuhamasisha vurugu wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.


 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages