LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 25, 2025

IJUE HISTORIA YA MCHEZAJI MZUNGU WA TANZANIA


✍️Tarryn Allarakhia ni mchezaji aliye zaliwa 1997 katika kijii cha redbridge kule london uingereza 
Mzazi wake ana uraia wa Tanzania wa kurithi ingawa mama yake ni mzaliwa wa uingereza 
 
✍️ alikuwa na uraia wa aina mbili yaani uingereza na Tanzania yeye alichagua Tanzania kwa sababu asili ya baba yake alikuwa na uraia wa kurithi Tz
Pia amecheza kwenye vilabu vya mitaani ns mikoa pale uingereza kama ifuatavyo 

✍️. 2015  - 2016 Avely 
✍️  2016  - 2017 Maldon 
✍️  2018.  - 2021 Crawely town 
✍️  2019   -    Meldon stone kwa mkopo 
✍️. 2021   - 2022  Woking 
✍️ 2022.   - 2024 Rochdale miaka miwili 

          Jumla amefunga mabao 17 kwa miaka yote aliyo cheza kwenye timu hizo zote 

Baada ya kuona Nafasi ya kucheza timu za taifa ni ndogo hasa kwa uingereza ukiwa vitimu vya chini aliona kheri achague Tanzania atapata nafasi 

#shevat mchambuzi wa michezo na kukupa madini ya kweli nawe ujue mpira ulivyo 

Waiki kesho nakuja na mzungu Haji Mnoga naye ni nani alitokea wapi 
Follow ukrasa wangu kwa madini ya kweli



 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages