LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 13, 2025

WAZIRI MKUU MPYA DK. MCHEMBA ALAKIWA NA WATUMISHI ALIPOTINGA OFISINI, DODOMA



 Waziri Mkuu Mteule Dkt. Mwigulu Mchemba akipokelewa na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, kwenye makazi ya Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma Novemba 13, 2025.


Dkt. Mwigulu Nchemba ameteuliwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na kuthibitishwa na bunge.





 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages