LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 24, 2025

DKT. NCHIMBI AKUTANA NA RAIS RAMAPHOSA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 7 wa Viongozi wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya (AU-EU Summit), unaofanyika Jijini Luanda nchini Angola. Tarehe 24 Novemba 2025.




 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages