Mgombea Ubunge Jimbo la Makunduchi (CCM), Mh. Wanu Hafidh Ameir ambaye ni Binti wa Rais Dkt Samia suluhu hassan akiombewa kura na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano wa ufungaji wa kampeni Mkoa wa Kusini Unguja uliofanyika Jambiani, Kusini Unguja, Visiwani Zanzibar Oktoba 25, 2025.
Your Ad Spot
Oct 26, 2025
Home
Unlabelled
MZEE KIKWETE AMNADI WANU AMEIR
MZEE KIKWETE AMNADI WANU AMEIR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇