Umati mkubwa wa wananchi na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliojitokeza leo kwenye Viwanja vya Masumbwe, Wilayani Mbogwe Mkoani Geita leo Jumapili Oktoba 12, 2025 kumlaki na kumsikiliza Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyeanza ziara yake ya Kampeni katika Mkoa huo akitokea Mkoani Shinyanga.
Your Ad Spot
Oct 12, 2025
MBOGWE 'IMETAPIKA' KAMPENI ZA DKT.SAMIA
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About Blogger
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot




No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇