Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tganzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amerudia kuwahakikishia usalama wananchi kwamba vyombo vya Ulinzi na Usalama ndani ya Taifa hili vimejipanga vyema na kwamba amevijengea uwezo wa kutosha, hivyo wasiwe na hfu watoke kwenda kupiga kura Jumatano Oktoba 29.
Your Ad Spot
Oct 22, 2025
DKT SAMIA AWAHAKIKISHIA USALAMA WANANCHI OKTOBA 29
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇