Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Vyama Rafiki kutoka nchi mbalimbali mara baada ya kuhutubia wananchi katika uwanja wa TANESCO, Buza Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Oktoba, 2025.
Your Ad Spot
Oct 23, 2025
Home
featured
habari picha
DKT SAMIA AKISALIMIANA NA VIONGOZI WA VYAMA RAFIKI KUTOKA NCHI MBALIMBALI
DKT SAMIA AKISALIMIANA NA VIONGOZI WA VYAMA RAFIKI KUTOKA NCHI MBALIMBALI
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About Blogger
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot


No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇