LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 1, 2025

SHANGWE ZATAWALA MKUTANO MKUU MAALUMU WA UCHAGUZI WA WAZAZI CCM

 Wanachama wa Umoja wa Wazazi wa CCM wakiserebuka wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Uchaguzi wa wabunge na wawakilishi wa Viti maalumu kupitia Umoja huo.


Mkutano huo uliohudhuriwa na wajumbe 710 na wagombea 33 umefunguliwa na Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, John Mongella kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti Mosi.










IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages