Wanachama wa Umoja wa Wazazi wa CCM wakiserebuka wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Uchaguzi wa wabunge na wawakilishi wa Viti maalumu kupitia Umoja huo.
Mkutano huo uliohudhuriwa na wajumbe 710 na wagombea 33 umefunguliwa na Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, John Mongella kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti Mosi.



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203




No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇