Mgombea Mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi katika uwanja wa CCM mjini Ngudu Wilayani Kwimba, alipopita kuwasalimia wakati akianza rasmi kampeni leo Agosti 29, 2025 jijini Mwanza. Pamoja na kuwahutubia wananchi pia alimnadi Mgombea Ubunge wa jimbo la Kwimba ndugu Bulala Mutesigwa pamoja na Mbunge wa Jimbo la Sumve Bujaga Charles na madiwani wa chama hicho. 

Your Ad Spot
Aug 29, 2025
DKT. NCHIMBI AANZA KAMPENI MWANZA
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About CCM Blog INVITEE
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot


No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇