Umma ambazo zilikuwa zinaelekea kupotea kupitia watumishi wasio waaminifu.
iii. Kwa kipindi cha mwaka 2020 Mkoa ulikuwa na mahakama za mwanzo 65 na wilaya 6 hadi kufikia mwaka 2025 Mkoa una mahakama za mwanzo 67 na Wilaya 8 hii inaonyesha kuna ongezeko la mahakama za mwanzo 2 na wilaya 2.
iv. Ujenzi wa majengo ya ofisi za wakurugenzi na nyumba za viongozi, Mkoa umepokea fedha kwajili ya ujenzi wa Majengo ya Utawala,Samani za Ofisi, Nyumba za wakurugenzi na Wakuu wa Idara.
3.0 HITIMISHO
Wananchi wa Mkoa wa Tanga kwa pamoja tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutekeleza kwa weledi mkubwa ahadi zilizowekwa kwa vitendo kupitia Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020, na ahadi yao ni kufanya makubwa kwa kujitoa kwa wingi na kushiriki katika uchaguzi mkuu mwaka huu 2025.
Naomba Kuwasilisha.
Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian
MKUU WA MKOA
TANGA
34
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇