LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 15, 2025

 

Umma ambazo zilikuwa zinaelekea kupotea kupitia watumishi wasio waaminifu.

iii. Kwa kipindi cha mwaka 2020 Mkoa ulikuwa na mahakama  za mwanzo 65 na  wilaya 6 hadi kufikia mwaka 2025 Mkoa una mahakama za mwanzo 67 na Wilaya 8 hii inaonyesha kuna ongezeko la mahakama za mwanzo 2 na wilaya 2.

iv. Ujenzi wa majengo ya ofisi za wakurugenzi na nyumba za viongozi, Mkoa umepokea fedha kwajili ya ujenzi wa Majengo ya Utawala,Samani za Ofisi, Nyumba za wakurugenzi na Wakuu wa Idara.

3.0 HITIMISHO

Wananchi wa Mkoa wa Tanga kwa pamoja tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutekeleza kwa weledi mkubwa ahadi zilizowekwa kwa vitendo kupitia Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020, na ahadi yao ni kufanya makubwa kwa kujitoa kwa wingi na kushiriki katika uchaguzi mkuu mwaka huu 2025.

Naomba Kuwasilisha.

 

Mhe. Balozi Dkt. Batilda Salha Burian

MKUU WA MKOA

TANGA

34

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages