Jul 4, 2025

RAIS SAMIA KUJENGEWA MNARA WA HESHIMA SINGIDA

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego amesema wana mpango wa kumjengea Mnara mkubwa wa heshima Rais Samia Suluhu Hassan kuwa kwa mafanikio makubwa alioufanyia Mkoa wa Singida.

Pamoja na mambo mengine, RC Dendego ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma Julai 4, 2025, kuhusu mafanikio lukuki yaliyopatikana mkoani humo katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia. 


Wanahabari wakiwa katika mkutano huo.

IMEANDALIWA NA 
RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages