Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, akisalimia baada ya kuwasili katika Uwanja wa Malouzini Jijini Moroni kuhudhuria Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro zilizofanyika leo Julai 6, 2025. Rais Dk. Samia amehudhuria sherehe hizo kufuatia mwaliko wa na Rais wa nchi hiyo Azali Assoumani kuwa mgeni rasmi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika Uwanja wa Malouzini Jijini Moroni kuhudhuria
Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro zilizofanyika leo Julai 6, 2025.
Rais Dk. Samia amehudhuria sherehe hizo kufuatia mwaliko wa na Rais wa
nchi hiyo Azali Assoumani kuwa mgeni rasmi.
Rais
wa Comoro Azali Assoumani akiwa katika gari la wazi kusalimia wananchi katika Uwanja wa Malouzini Jijini Moroni kusherehekea miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo leo
Rais
wa Comoro Azali Assoumani akiwa
katika gari la wazi kusalimia wananchi katika Uwanja wa Malouzini
Jijini Moroni kusherehekea miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo leo.



Rais Dk. Samia akihutuba katika sherehe hizo.


Msanii Kahdija Kopa akitumbuiza katika sherehe hizo.









No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇