LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 14, 2025

MAFANIKIO SEKTA YA MIFUGO SHINYANGA YAZIDI KUPAA AWAMU YA RAIS SAMIA

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita akielezea mafanikio ya sekta ya mifugo mkoani humo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma Julai 14, 2025, kuhusu mafanikio ya miaka minne ya Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo



Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO. Kelvin Kanje akitoa neno la kuhitimisha mkutano huo.


 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages